Thursday, June 30, 2016

JEE, UNA TATIZO LA KUKOSA HAMU YA MAPENZI?

Hamu Ya Kufanya  Mapenzi
Tatizo la kukosa hamu ya kufanya mapenzi au kukosa nyege kwa lugha ya mitaani huwatokea zaidi wanawake kuliko wanaume lakini ni wanaume wanaokerwa zaidi na tatizo hili kulio wanawake. Wakati ambapo ni asilimia 15 hadi 16 ya wanaume wenye tatizo hili, idadi ya wanawake ni mara mbili ya hii ya wanaume. Lakini wakati ni asilimia 23 ya wanaume wanaonyesha kuridhika kuishi na tatizo hili, asilimia 46 ya wanawake wapo radhi kabisa kuendelea kuishi na tatizo hili.
Si lazima kuendelea kuishi na tatizo la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa sababu kuna mambo mengi unayoweza kuyafanya ili kuondokana na hili tatizo.
Hali ya kupenda kufanya mapenzi au tendo la ndoa kwa mwanamke inabadilikabadilika sana ikipanda na kushuka kulingana na matukio mbalibali yanayomtokea katika maisha yake. Baadhi ya matukio yanayoathiri hamu ya mwanamke kufanya mapenzi ni pamoja na kuanza na kwisha kwa mahusiano ya kimapenzi na mwanamme, kupata ujauzito, na magonjwa. Kama wewe mwanamke umepatwa na ha hii unaweza kukabiliana nayo kwa kubalisha jinsi unavyoishi, kufanya mambo kadhaa yatakayo badilisha hali hii au kutumia baadhi ya dawa zinazosaidia kuondoa tatizo hili.

Jee, Utajuaje kama Una Tatizo?

Kuna vitu vingi ukiviona vinakutokea, ujue una tatizo hili la kukosa hamu ya kufanya mapenzi.Tulivijadili viashiria hivi kwa kina tulipozungumzia tatizo hili la kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa wanaume. Unaweza kusoma tulivyojadili kwa kusoma ukurasa huu “Mwanamme Kukosa Hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa.”
kukosa nyege

Sababu Za Kukosa Hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa

Sababu zinazoweza kupelekea mwanamke kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa ni nyingi lakini kwa ujumla karibu zote tunaweza kuzigawanya katika makundi manne:
1. Mahusiano Baina Ya Mwanamke Na Mwanamme                                     Kwa wanawake walio wengi ukaribu wa kihisia ndicho kitu cha kwanza katika kujenga mapenzi kati yake na mwanamme. Hivyo, mahusiano mabovu yaweza kuwa ndicho chanzo cha kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa mwanamke. Mwanamke atakosa hamu ya kufanya mapenzi endapo hakutokuwa na mawasiliano baina yake na mumewe, kutakuwa na migogoro kati yake na mumewe isiyokwisha, kutakuwa na ukosefu wa mawasiliano kuhusu mahitaji yake ya kufanya mapenzi na jinsi ambavyo yeye angependa kufanyiwa kimapenzi na kama atahisi kuna ukosefu wa uaminifu katika ndoa au mahusiano yao.
2. Matatizo Katika Maisha Yako                                                                                Matatizo mbalimbali katika maisha ya mwanamke humsababishia kukosa hamu ya kufanya mapenzi. Baadhi ya matatizo ambayo huweza kusababisha mwanamke kukosa hamu ya kufanya mapenzi ni pamoja na magonjwa, mabadiliko katika mwili wake na hata matumizi ya baadhi ya madawa:
Matatizo Katika Kufanya Tendo La ndoa. Kama mwanamke anapata maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa au kama mwanamke anakosa kufika kileleni, hali hii inaweza kusababisha akakosa kabisa hamu ya kufanya mapenzi.
Matatizo ya afya. Magonjwa mengi husababisha mwanamke akose hamu ya kufanya tendo la ndoa. Baadhi ya magonjwa ni maumivu ya viungo vya mifupa (arthritis), kansa, ugonjwa wa kisukari, high blood pressure, matatizo katika mishipa ya damu ya arteri na matatizo ya akili.
Matumizi ya madawa. Baadhi ya madawa yakitumiwa, huondoa kabisa hamu ya kufanya mapenzi kwa mwanamke. Mfano wa dawa hizo ni madawa ya kukabiliana na msongo wa mawazo.
Mtindo wa maisha. Matumizi ya pombe kuzidi kiwango, uvutaji wa sigara na madawa ya kulevya huathiri hamu ya kufanya mapenzi.
Upasuaji. Upasuaji uliofanyika katika maeneo ya maziwa au katika maeneno ya viungo vya uzazi humbadilishia mwanamke mwonekano wake, huathiri ufanyaji kazi wa viungo hivyo na mwisho kuathiri hamu yake ya kufanya mapenzi.
Uchovu. Uchovu unaotokana na kulea watoto wadogo au vikongwe huweza kuathiri hamu ya mwanamke ya kufanya mapenzi.
3. Mabadiliko Katika Mfumo Wa HomoniKukoma Hedhi.Mabadilko ya viwango vya homoni katika mwili wa mwanamke yanaweza kusababisha kukosa hamu ya kufanya mapenzi kwa mwanamke. Kupungua kwa Estrogen katika mwili wa mwanamke katika kipindi cha kuelekea kukoma hedhi kunaweza kusababisha ukosefu wa hamu ya kufanya mapenzi. Upungufu wa homoni hiyo husababisha uyabisi wa wa viungo vya sehemu nyeti na kusababisha maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa.
Mwanamke pia huweza kuwa na upungufu wa homoni ya testosterone, homoni ambayo husaidia kuongeza hamu ya kufanya mapenzi kwa wanaume na wanawake, hivyo mwanamke huyo akapungukiwa na hamu ya kufanya mapenzi.
Pamoja na kuwa wanawake wengi huendelea kupata hamu ya kufanya mapenzi baada ya kukoma hedhi, baadhi kupungukiwa na hamu hiyo baada ya mabadiliko haya ya viwango vya homoni katika miili yao.
Ujauzito na kunyonyesha. Mabadiliko katika mfumo wa homoni wakati wa ujauzito, baada ya kujifungua na wakati wa kunyonyesha huweza kusababisha mwanamke kukos hamu ya kufanya tendo la ndoa.
4. Matatizo Ya Kisaikolojia                                                                                             Matatizo ya kisaikolojia yana mchango katika kumfanya mwanamke akose hamu ya kufanya tendo la ndoa. Baadhi ya mtatatizo hayo ni:
  •  Waswasi na kuwa na msongo wa mawazo
  •  Kuwa na mawazo mengi kuhusu matatizo ya kifedha au kikazi
  •  Kuhisi kutothaminiwa katika jamii
  •  Kuwa na historia ya kunyanyaswa kimwili au kijinsia kama kupigwa   au kubakwa
  •  Kuwa na historia mbaya ya kimapenzi
  •  
    kukosa hamu ya mapenzi

    Njia Za Kuondoa Tatizo La Kukosa Hamu Ya kufanya Tendo La Ndoa

    Hakuna dawa ya moja kwa moja toka hospitalini kwa sasa hivi kwa ajili ya kuondoa tatizo hili, hata hivyo wanawake wengi wanaweza kurudi kwenye hali zao za kawaida kwa kushirikiana na waume zao waelewa. Jaribu kufanya mambo tuliyoyadokeza katika mada yetu ya “Mwanamme Kukosa hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa” ukisaidiana na mumeo. Unahitaji kuchunguza taratibu na kwa kina chanzo cha tatizo lako, na taratibu lifanyie kazi kwa msaada wa mume wako.
    Katika nchi zilizoendelea, kila siku wamekuwa wakija na dawa na vifaa vipya vya kuondoa tatizo hili na vingi bado ni vya bei kubwa na/au vinapatikana kwa shida. Vipo ambavyo vimeonyesha mafanikio makubwa, mifano ya vitu hivyo ni Suction Vibrators, Desire Creams na Erection Drugs.
    Unaweza kupata mafanikio makubwa  (wasomaji wangu wengi wamefanikiwa na kunishukuru) kwa kutumia chakula kinachosaidia kuongeza hamu au kwa kutengeneza na kutumia viagra asilia. Hivi nimevielezea hapa chini. Kama hivi bado havijakusaidia, nashauri utumie virutubisho vya mwili ambavyo husamabazwa na makampuni mbalimbali. Vipo vinavyofanya kazi kwa haraka na kutibu kabisa tatizo hili. Endapo umepata tatizo kutambua virutubisho vizuri vya kutumia, wasiliana nasi kwa kutumia njia yo yote iliyo rahisi kwako kati  ya  hizi nilizoziorodhesha chini ya ukurasa huu.

    Chakula Cha Kuongeza Hamu Ya Mapenzi

    Utafiti umeonyesha pasi shaka kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya chakula tunachokula na afya ya viungo vya uzazi. Baadhi ya chakula na virutubisho vimehusishwa na hamu ya kufanya mapenzi (nyege). Vitubisho ndani ya chakula ambavyo vinasaidia hali hiyo ni antioxidants, vitamin C, vitamin E, potassium na zinc. Kirutubisho cha zinc kinaongeza mbegu kwa mwanamme (sperm count) hivyo humsaidia kuongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa. Chakula cho chote chenye virutubisho hivi vikiliwa humfanya mlaji asikie hamu ya kufanya mapenzi au kwa maneno ya mtaani, chakula hiki kinasaidia kuongeza nyege. Baadhi ya chakula cha kuongeza nyege ni:
    Tikitimaji-Hili linachukuliwa kuwa ndilo tunda bora katika kuboresha afya ya mapenzi. Tunda hili lina asilimia 92 ya maji na asilimia 8 zinazobakia zina phytonutrient citrulline ambayo hugeuzwa kuwa arginine. Arginine ni amino acid ambayo hufanya mishipa ya damu kuwa kwenye hali ya ubora wake na kusadia damu kupita vizuri zaidi. Tikitimaji kwa hiyo husaidia damu ifike kwa kiwango kizuri zaidi kwenye sehemu ambazo hutakiwa kutanuka wakati mtu akipata hisia za kufanya tendo la ndoa ambazo ni viungo vya ndani ya kisimi cha mwanamke na ndani ya uume wa mwanamme.
    chakula cha kuongeza nyege
    Strawberries– matunda haya yana antioxidants kwa kusaidia afya ya moyo na mishipa ya damu (arteri) na vitamin C ambayo huongeza kiwango cha mbegu kwa mwanamme.
    matunda ya kuleta nyege
    Pombe-glasi moja ya mvinyo hukufanya uwe na akili tulivu. Pombe kwa kiwango kikubwa huleta kinyume cha matarajio na kuondoa kabisa hamu ya mapenzi.
    Avocadro-tunda hili lina vitamini E ambayo ni antioxidant. Ndani ya tunda hili kuna potassium na vitamini B6 ambavyo huboresha afya ya moyo na kusaidia mzunguko wa damu.
    matunda ya kusidia hamu ya mapenzi
    Viazi vitamu-hivi vina potassium ambayo husaidia kuondoa tatizo la high-blood pressure.
    viazi huleta nyege
    Chakula kingine katika kundi hili ni broccoli (picha hapa chini), karafuu, mayai na tangawizi.
    mboga kwa kusaidia kuleta nyege
    Kuna mchanganyiko wa matunda ukisagwa pamoja na kunywewa umeonyesha kuongeza hamu ya kufanya mapenzi au kuongeza nyege. Nilionyesha namna mbili za kutengeneneza mchanganyiko huo na nikauita “Viagra asilia.” Nitaongeza mchanganyiko wa tatu wenye matunda mengi zaidi ili uweze kuchagua ule utakaoona ni rahisi zaidi kuutengeneza.

    Jinsi Ya Kutengeneza Viagra Ya Asili

    Kusanya matunda kama yanavyoonyeshwa kwenye video hii hapa chini, saga kwa pamoja katika blender na kisha kunywa glasi moja ya mchanganyiko huo. Hakuna kipimo kamili cha kutumia, lakini ukipata glasi tatu kwa siku utapata mabadiliko ya kutosha kabisa. Wapo watu wengi waliofuata ushauri huu, wakanipigia simu kuwa hali zao zimekuwa nzuri sana baada ya kutumia kinywaji hiki. Jaribu kisha nipe matokeo.
    Kama umeshindwa kupata matunda yote kwa kutengeneza viagra hii asilia, nenda ukurasa wa “Mwanamme Kukosa Hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa” ambamo nimeelezea viagra asilia ya matunda mawili tu, tikiti maji na limau.
    viagra ya asili ya matunda
    Kama una swali lolote au maoni yako kuhusiana na mada hiyo hapo juu, usisite kutuandikia. Pia usisite kuomba ushauri zaidi pale ulipojaribu njia hizi ukakwama mahali.

Sunday, June 26, 2016

Ladies Take Note! If Your Man Has These 10 Qualities, Don't Ever Lose Him To Anyone.



It may prove difficult to find a great guy in our contemporary world but there are indeed great guys and they have these traits below in them.

Here's a list of 10 universal good-guy qualities that can help get you started.

1. He's kind to everyone

Not just you on your best day but you on your worst. Same goes for the waiter who brought the wrong appetizer, his coworkers, his family (and yours), and pretty much everyone. Someone who is genuinely kind spreads kindness wherever he goes.

2. He's genuinely happy

A happy person is not only a healthy person but also someone who is optimistic and fulfilled. Who wouldn't love a life with someone like that?

3. He loves you

Yeah, I know, duh. But I mean the real you. Not just the way you look or the things you do for him or the fact that you are conveniently 4 inches shorter, also love staying in on Friday nights, and get along with his family.

He must love the unique things about you, like how you're always 30 minutes late to everything, how you put exactly three lemons in all your drinks, the long-winded way you tell a story, or how you always need the toilet paper roll so that the top flap faces down.

4. He takes care of you

5. He makes you smile

When you're with him, and when you think about him.

6. You can be yourself around him

No matter how much you might be into someone, it's never going to be real until you can let down your guard around him.

7. He's the only one you fantasize about

8. He spends like you

A guy who's on board to make your fantasy tour-de-France vacation a reality? Fantastic. A guy who then complains about every dollar you want to spend on said trip? No bien.

If springing for the good rosé and staying in a schmance hotel is your idea of fun, you need a guy that gets it. Money is the root of a lot of relationship issues, so being on the same page about spending is crucial.

9. He doesn't put up with your crap

Whether it's yelling instead of talking, being passive-aggressive when you're upset, or some sort of family/work issue you're taking out on him. He knows your patterns and not only talks to you about them kindly but offers support when and where you need it.

Someone who can see you to your very core, accepts your flaws, and only wants to help you be a better person? That's love.

10. He puts you first

When it comes down to it, you are the No. 1 most important person in his life, and there are no questions about that.

If his friends want to do a guy's weekend in Vegas, he says no because he's got a good thing going with you, doesn't want to get into trouble, and knows it will mean missing that concert you really want to go to. And if his mom hates the wallpaper you chose for your first apartment together, you'll never find out, because he tells her if you're happy, he's happy, and that's the end of it.

Wednesday, June 22, 2016

One of The Best Heart Touching Message - Must Read.


It was their anniversary, and Aisha was waiting for her husband Rajiv to show up. Things had changed since their marriage, the once cute couple couldn't-live-without-each-other had turned bitter.
Fighting over every little things, both didn't like the way things had changed.
Aisha was waiting to see if Rajiv remembered it was their anniversary!
Just as the door bell rang she ran to find her husband wet and smiling with a bunch of flowers in his hand.
The two started re-living the old days. Making up for fights, then was d plan for champagne, light music And it was raining outside! It was perfect.
But the moment paused when the phone in the bedroom rang.
Aisha went to pick it up and it was a man. "Hello ma'am I'm calling from the police station. Is this Mr Rajiv Mehra's number?"
"Yes it is!"
"I'm sorry ma'am; but there was an accident and a man died.
We got this number from his wallet; we need you to come and identify his body."
Aisha's heart sank.!!! She was shocked!
But my husband is here with me?"
"Sorry ma'am, but the incident took place at 2 pm, when he was boarding the train."
Aisha was about to lose her conscience.
How could this happen?!
She had heard about the soul of the person coming to meet a loved one before it leaves!
She ran into the other room.
He was not there. It was true! He had left her for good!!
Oh God she would have died for another chance to mend every little fight! She rolled on the floor in pain. She lost her chance! Forever!
Suddenly there was a noise from the bathroom, the door opened and Rajiv came out and said "Darling, I forgot to tell you my wallet got stolen today".
LIFE MIGHT NOT GIVE YOU A SECOND CHANCE. SO NEVER WASTE A MOMENT WHEN YOU CAN STILL MAKE UP FOR YOUR WRONGS!!!
Its the last quarter of the year so let's start making amends.
To parents
To siblings
To friends
And many more.
No one is promised tomorrow. Have a wonderful Life with no regrets!
This has to be one of the best message!!

Sunday, June 19, 2016

Why Rich Men Marry Kikuyu Women Only-Shocking.


After Safaricom CEO Bob Collymore married a Kikuyu lady, several women from other tribes took to social media to pour their frustrations, while others called Wambui Kamiru a “gold digger”. But there are underlying factors that make Kikuyu women attractive to rich men.
They don’t play hard to get when they are sure a man is rich.
Kikuyu women play smart, unlike Kisii, Kamba, Luhya,Luo and Kalenjin women. Instead of playing hard to get, they play smart. Once they spot the opportunity, they make sure they behave-even faking some behaviours that attract rich men-so as to bait the man.These women know what they want, they can go miles pleasing the man until they get what they want.
They know where the rich guys spend their time
Unlike other women who spend their time at Muthurwa market, gikomba,taj mall,Rongai and Kawangware chewing sugarcane..Kikuyu women spend time at Sankara, Villa Rosa Kempinksi and posh areas where the rich guys are found mostly.
While other tribes like Luhya, Kisii, Luo, Maasai and Kamba love Nigerian movies, Kikuyu women know what kind of movies rich men watch. If the man invites such a lady to his house, she will choose and carry the best movies for him, thus attracting the attention of the guy.
Kikuyu women always attend events where CEOs and top leadership are in attendance.They mingle and exchange contacts, when other tribes are attending Gor Mahia match at City Stadium.
Kikuyu men are beautiful and modern
What makes Kikuyu women more attractive to wealth men is their ability to equip themselves with latest fashion trends in the world. They know clothes that are attractive to rich men, and actually spend money buying the same.
You will also agree with me that no tribe in Kenya beats the Kikuyu in terms of beauty. And am sure you are aware beauty acts as a magnet between a thirst man and a willing woman. Even an ugly Kikuyu woman will try hard, even bleach, to ensure she is attractive to a rich guy.
They know how to treat women-before marriage
Before she is married, you won’t know the true character of a Kikuyu woman. She will make sure you know all her strengths, but also make sure she hides her insecurities. The man will end up thinking he is marrying an angel…
She rarely tells her competitors she is dating a rich man.
One stupid things women from other tribes do is revealing to other women the kind of a man she is dating. Kikuyu women don’t make such mistake because she knows the man can leave her for her friends. Who knew Wambui Kamiru was dating bob Collymore?

Kenyan Tribes Whose Women are Good in Bed.


There is nothing disappointing to a man when you realize that your woman is boring in bed. Though there are several tribes in Kenya whose women are horrible in bed, there are some 5 tribes that set the record in bed.
 Luo Women
Luo women have cut a niche for themselves. These women are the undisputed queens of bedroom matters. Once you have a Luo woman, even for 30 minutes, you will never desire to have another tribe.
But one disappointing thing about the tribe is that even if you satisfy her today, she will steal cheat tomorrow.
Luo women scream a lot during the act-even the neighbor will notice something is happening.
Kamba Women
We all agree that more than 50 % of Kamba women cheat even in marriage. The main reason why they cheat is that their men are weak in bed.
A Kamba lady has so much fat in her body (tell me if you have ever met a skinny Kamba lady unless she is emaciated) which makes demand a man day in day out. It is rare for a Kamba lady to stay for a week without asking for it.If the husband is not around, she will get it elsewhere.
Kamba women know all the styles and they will always make the man happy, even make him empty his pocket even without being asked for money.
Luhya women
Just like Luo women, Luhya women are very good in bed. You can experiment if you wish.
Taita Women
Taita women are not only beautiful, but also extremely sweet. If she gives you once, you will come begging again.

Saturday, June 18, 2016

Love sayings: Romantic Love Story in short.


A boy was dating a girl who always hurt him. One day, she broke up with him and told him, "I don't ever want to see you again."

A few months later, the girl had a change of heart. She realized that she loved the boy who was really sweet, so she went back and said to him, "Give me just one more chance. I love you and I need you. I promise that I will never hurt you again in my whole life."

But the boy just laughed and said to her, "Only a fool would take back someone who hurt them so much."

The girl felt hopeless and began to cry, but the boy put his arms around her, held her tightly and said, "...and you know I am one of those fools."

Thursday, June 16, 2016

True and heart touching love story


Once there was a boy and girl fall in love after conversation with mobile. They are not met each other. One day the girl asked the boy that she wants meet her. The boy was so eager to meet her and he took auto from his office and went to meet her. He bought dairy milk with him for her. Then the girl asked him to come to near to her home. It was very difficult task for the boy who was unknown in that town but the boy went without any second thought meet his dear one. Then he reached his destination. He asked his girl which place I should come. I am near to your home. The girl just went top of her roof and asked the boy to come near that street. The boy went and talking with her over phone. 


Then the boy asked her to come out near that street but the girl denied and said my mother and aunt are in home they may catch me. Please I will meet you some other day. Now you have to go. But the boy asked him willfully please come across the street I want to see you. Then the girl came near to him and the boy sees there. However he likes her so much and gives her the chocolate. Then the girl just talking with him may be in walking mode. 

Then the girl asked how are you and how did you came here? And after got the feedback she went her home and while she going to her home said that I love you so much. How cute you are. Why you love me I am not beautiful and you look handsome and cute. The boy said I don’t care how you look what you were? I only love you and yours heart. 

Moral: I believe that two people are connected at the heart, and it doesn't matter what you do, how we look .... No matter what culture we're from.